Rais wa Marekani Barack Obama ameanza ziara yake ya Mashariki ya Kati kwa kutembelea kwanza Israel kabla ya kwenda Ukingo wa Magharibi na Jordan
Rais Obama atembelea Mashariki ya Kati
1
Rais wa Marekani Barack Obama akitabasamu karibu na waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu na rais Shimon Peres kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Ben Gurion karibu na Tel Aviv, March 20, 2013.
2
Rais wa Marekani Barack Obama akikagua gwaride la heshima kwenye uwanja wa ndege wa Ben Gurion karibu na Tel Aviv, March 20, 2013.
3
Wanajeshi wa Israeli wakijitayarisha kwa sherehe rasmi za kumkaribisha rais Barack Obama kwenye uwanja wa ndege wa Ben Gurion karibu na Tel Aviv, Israel, March 20, 2013.
4
Myahudi akipita mbele ya mabango yanayotowa wito kwa rais Barack Obama kumachilia huru Jonathan Pollard anaeshikiliwa katika jela ya Marekani huko Jerusalem, March 20, 2013.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017