Alhamisi, Mei 23, 2013 Local time: 16:07

Habari / Afrika

Wakimbizi wanyanyaswa katika kambi za Afrika Mashariki

Hali mbaya kwa wakimbizi katika kambi ya IFO 1 huko Dadaab, karibu na mpaka wa  Kenya na Somalia.
Hali mbaya kwa wakimbizi katika kambi ya IFO 1 huko Dadaab, karibu na mpaka wa Kenya na Somalia.
ukubwa wa habari - +
Kenya hivi karibuni iliwaamrisha wakimbizi wote walohama katika miji mbali mbali kurudi katika kambi ya Dadaab, kambi kuu ya wakimbizi barani Afrika, hiyo ikiwa njia moja ya kujibu wimbi la masham bulizi ya kigaidi katika miji ya nchi hiyo.

wakimbizi wanaeleza kwamba wanalazimika kuhama kambi kutokana na ukosefu wa huduma msingi, unyanyasaji, uhalifu, ubakaji na hakuna mfumo wa elimu kwa watoto wanaoishi kwa muda mwingi ndani ya kambi.
Wakimbizi wanyanyaswa Afrika Mashariki
Loading
12:00:00 / -:--:--

Katika mjadala kwenye kipindi cha :"Live Talk", cha Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika, wakimbizi na wanaharakati wa kutetea haki zao wanadai hali ianweza kuwa mbaya hasa kutokana na unyanyasaji, uhalifu na ubakaji katika kambi nyingi za Afrika Mashariki.

Wakimbizi wanatoa wito kwa serikali kuheshimu makubaliano ya kimataifa juu ya wakimbizi na kudai wamechoka kukimbia unyanyashaji na ghasia wanahitaji amani na utulivu kama raia wengine.
mjadala huu umefungwa
Maoni
     
There are no comments in this forum. Be first and add one

Mitaani

Loading
12:00:00 / -:--:--