Jumanne, Mei 21, 2013 Local time: 04:10

Habari

Rais wa Ghana afariki dunia.

Ofisi ya rais nchini Ghana inasema amefariki katika hospitali ya jeshi mjini Accra.

Rais wa Ghana John Evans Atta Mills
Rais wa Ghana John Evans Atta Mills
ukubwa wa habari - +

Taarifa za habari kutoka Ghana zinasema rais John Atta Mills amefariki dunia. Ofisi ya rais inasema kiongozi huyo aliyekuwa na umri wa miaka 68 alifariki ghafla leo masaa machache baada ya kuugua.Taarifa za habari za Ghana zinasema alifariki katika hospitali ya jeshi kwenye mji mkuu Accra. Hakuna maelezo ya haraka juu ya kifo chake.John Atta Mills aliongoza Ghana tangu mwaka 2009.

mjadala huu umefungwa
Maoni
     
There are no comments in this forum. Be first and add one

Mitaani

Loading
12:00:00 / -:--:--