Papa Benedict wa 16 ameshangaza dunia Jumatatu alipotangaza anajiuzulu ifikapo februari 28, na hivyo kuwa Papa wa kwanza kujiuzulu kwa takribani miaka 600 iliyopita.
Papa aliwashangaza viongozi wa juu wa kanisa alipokutana nao huko Vatican alikotangaza uwamuzi wake. Katika taarifa yake amesema “nilitafakari kwa kina juu ya uamuzi huo.”
Benedict alisema anajiuzulu kwa sababu nguvu zake zimepunguwa sana katika kipindi cha miezi kadhaa iliyopita “kufikia kiwango ambacho ilibidi nitambue uwezo wangu wa kutumikia kikamilifu wadhifa wa kidini niliyokabidhiwa.”
Papa Benedict atakanza kujiuzulu
1/10Papa Benedict awasalimia umati wa watu kutoka baraza ya kati ya Kanisa la St. Peter's Basilica mjini Vatican, Aprili 19, 2005.
Papa Benedict ametangaza atajiuzulu kutoka uwongozi wa Kanisa la Katholiki hapo Februari 28, kutokana na hali yake ya afya. .
2/10Papa Benedict awasili kuhudhuria mkutano na watawa katika ukumbi wa chuo cha Romano Maggiore mjini Rome, Februari 8, 2013.
Papa Benedict ametangaza atajiuzulu kutoka uwongozi wa Kanisa la Katholiki hapo Februari 28, kutokana na hali yake ya afya. .
3/10Goalkeeper Tim Krul of the Netherlands saves the last penalty shot against Costa Rica during a penalty shootout in their quarter-finals at the Fonte Nova arena in Salvador, July 5, 2014.
Papa Benedict ametangaza atajiuzulu kutoka uwongozi wa Kanisa la Katholiki hapo Februari 28, kutokana na hali yake ya afya. .
4/10Pope Benedict wears a sombrero, a traditional Mexican hat, while being driven through the crowd before officiating a mass in Silao, Mexico, March 25, 2012.
Papa Benedict ametangaza atajiuzulu kutoka uwongozi wa Kanisa la Katholiki hapo Februari 28, kutokana na hali yake ya afya. .
5/10Pope Benedict holds his cross as he leads a solemn mass in Zagreb, Croatia, June 5, 2011.
Papa Benedict ametangaza atajiuzulu kutoka uwongozi wa Kanisa la Katholiki hapo Februari 28, kutokana na hali yake ya afya. .
6/10Pope Benedict visits the Ardeatine Caves Memorial in Rome, Italy, March 27, 2011.
Papa Benedict ametangaza atajiuzulu kutoka uwongozi wa Kanisa la Katholiki hapo Februari 28, kutokana na hali yake ya afya. .
7/10Niderlandiya darvozaboni Tim Krul Kosta Rikaga qarshi kechgan o'yin so'ngida tashkil etilgan penaltilar seriyasida ikki marta jamoa darvozasini goldan saqlab qoldi, 5-iyul, 2014-yil.
Papa Benedict ametangaza atajiuzulu kutoka uwongozi wa Kanisa la Katholiki hapo Februari 28, kutokana na hali yake ya afya. .
8/10Pope Benedict visits the Western Wall, Judaism's holiest prayer site, in Jerusalem's Old City May 12, 2009.
Papa Benedict ametangaza atajiuzulu kutoka uwongozi wa Kanisa la Katholiki hapo Februari 28, kutokana na hali yake ya afya. .
9/10Pope Benedict waves to the crowd gathered in Saint Peter's square during his weekly Angelus blessing at the Vatican, May 16, 2010.
Papa Benedict ametangaza atajiuzulu kutoka uwongozi wa Kanisa la Katholiki hapo Februari 28, kutokana na hali yake ya afya. .
10/10US President Barack Obama and his wife Michelle Obama meet with Pope Benedict at the Vatican, July 10, 2009.
Papa Benedict ametangaza atajiuzulu kutoka uwongozi wa Kanisa la Katholiki hapo Februari 28, kutokana na hali yake ya afya. .
Previous slide
Next slide
Jopo la makadinali litakutana kumchagua Papa mpya mwishoni mwa mwezi wa Februari. .
Kujiuzulu kwa Benedict kunafungua uwezekano nadra wa kumuona Papa mpya akisimama pamoja na Papa aliyemtangulia wakati wa kutawazwa kwake.
Baba mtakatifu Benedict alizaliwa April 16 mwaka 1927 nchini Ujerumani akiwa na jina la Joseph Ratzinger. Aliwekewa mikono ya baraka kuwa kasisi mwaka 1951 na kuwa kadinali mwaka 1977. Joseph Ratzinger alichaguliwa na kuwa Papa Benedict wa 16 mwaka 2005.