Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Juni 09, 2026 Local time: 07:54

Obama asema hali ya taifa ni nzuri

Obama asema hali ya taifa ni nzuri
Obama asema hali ya taifa ni nzuri

Mwanzoni mwa wiki hii Rais Barack Obama alitoa hotuba yake ya hali ya taifa mbele ya kikao cha pamoja cha bunge la Marekani, na kueleza kuwa hali ya taifa chini ya utawala wake ni nzuri.

Katika Amerika Leo tunatupia jicho hotuba hiyo na endapo ilikuwa na chochote kikubwa katika sera za mambo ya nje kama anavyoripoti mwandishi wa Sauti ya Amerika Dan Robinson.

This item is part of
XS
SM
MD
LG