Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani - May Day
1/10
Mtu aliyeshiriki katika maandamano ya siku ya wafanyakazi akiruka maji yanayofyetuliwa na maafisa wa usalama wakati wa mapambano yaliyozuka kati ya polisi na waandamanaji mjini Istanbul, Uturuki, May 1, 2013.
Wafnayakzi kote duniani isipokua Marekani wameshiriki katika sherehe mbali mbali za Siku ya Kimataifa ya Wafanayakzi, wakidai nyongeZa za mishahara na mazingira bora ya kazi. .
2/10
Polisi wa kupambana na ghasia wa Uturuki wakikabiliana na waandamanaji siku ya wafanyakazi "May Day" pkati kati ya mji wa Istanbul, Uturuki, May 1, 2013.
Wafnayakzi kote duniani isipokua Marekani wameshiriki katika sherehe mbali mbali za Siku ya Kimataifa ya Wafanayakzi, wakidai nyongeZa za mishahara na mazingira bora ya kazi. .
3/10
Mtu akibeba bango la picha ya kiongozi wa zamani wa Urusi Joseph Stalin wakati wa maandamano ya siku ya wafanyakazi Duniani mjini St. Petersburg, Russia, May 1, 2013.
Wafnayakzi kote duniani isipokua Marekani wameshiriki katika sherehe mbali mbali za Siku ya Kimataifa ya Wafanayakzi, wakidai nyongeZa za mishahara na mazingira bora ya kazi. .
4/10
wafuasi wa mungano wa kisiasa wa Albanian wa Red and Black Alliance wakiimba na kutoa maneno ya upinzani mbele ya ofisi ya Waziri Mkuu mjini Tirana. May 1, 2013.
Wafnayakzi kote duniani isipokua Marekani wameshiriki katika sherehe mbali mbali za Siku ya Kimataifa ya Wafanayakzi, wakidai nyongeZa za mishahara na mazingira bora ya kazi. .
5/10
People carry a banner during a May Day celebration organized by the Austrian Social Democrats and trade unions, Vienna, Austria, May 1, 2013.
Wafnayakzi kote duniani isipokua Marekani wameshiriki katika sherehe mbali mbali za Siku ya Kimataifa ya Wafanayakzi, wakidai nyongeZa za mishahara na mazingira bora ya kazi. .
6/10
Lebanese leftist activists wave flags as they march during a demonstration to mark May Day along a street in Beirut, May 1, 2013.
Wafnayakzi kote duniani isipokua Marekani wameshiriki katika sherehe mbali mbali za Siku ya Kimataifa ya Wafanayakzi, wakidai nyongeZa za mishahara na mazingira bora ya kazi. .
7/10
Workers march during a May Day rally in Jakarta, Indonesia, May 1, 2013.
Wafnayakzi kote duniani isipokua Marekani wameshiriki katika sherehe mbali mbali za Siku ya Kimataifa ya Wafanayakzi, wakidai nyongeZa za mishahara na mazingira bora ya kazi. .
8/10
South Korean police officers attempt to detain a protester during a May Day rally in central Seoul, May 1, 2013.
Wafnayakzi kote duniani isipokua Marekani wameshiriki katika sherehe mbali mbali za Siku ya Kimataifa ya Wafanayakzi, wakidai nyongeZa za mishahara na mazingira bora ya kazi. .
9/10
Protesters, wearing a horse head mask and chains, take part in a May Day protest in front of the Executive Yuan building in Taipei, Taiwan, May 1, 2013.
Wafnayakzi kote duniani isipokua Marekani wameshiriki katika sherehe mbali mbali za Siku ya Kimataifa ya Wafanayakzi, wakidai nyongeZa za mishahara na mazingira bora ya kazi. .
Previous slide
Next slide
Wafanyakazi duniani kote wanaandamana mitaani Jumatano kuadhimisha siku ya kimataifa ya wafanyakazi duniani ijulikanayo kama Mayday huku wito ukitolewa kwa nyongeza ya mishahara na mazingira bora ya kazi.
Mgomo wa chama cha wafanyakazi Ugiriki siku ya may day umesababisha kadhia ya safari za feri kwenye kisiwa hicho na usafiri wa umma huko Athens ambapo waandamanaji wanaamdamana dhidi ya hatua zilizoongezwa muda za kubana matumizi kiuchumi.
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ameahidi kuongeza mishahara ya kima cha chini kwa asilimia 14 na nusu, na kutangaza mikakati mbali mbali ya kuimarisha uchumi wa nchi hiyo katika sherehe za kuadhimisha siku hiyo huko Nairobi.Ifuatayo ripoti ya Mwai Gikonyo.
Na huko Tanzania sherehe hizo ziliadhimishwa mkoani Mbeya na vyama vya wafanyakazi vyataka serikali kuwapunguzia kiwango cha kodi wanachokatwa wafanyakazi.
Akizungumza na Sauti ya Amerika katibu mkuu wa shirikisho la vyama vya wafanyakazi (TUCTA) Bw. Nikolas Mgaya ameitaka serikali kutambua sekta isiyo rasmi kwani ina mchango mkubwa kwa pato la taifa.
Wafanyakazi nchi nzima huko Spain ambako ukosefu wa ajira umeongezeka kufikia asilimia 27 wanafanya maanadamano kutaka mabadiliko ya sera za kiuchumi.
Huko Phillippines wafanyakazi wanaandamana huko Manila kudai serikali ilinde ajira zao. Pia wanaidai serikali kuacha kuajiri watumishi wa muda ambao hawapati haki sawa na wale wa kudumu.