Kwa takriban siku nne mfululizo wakazi wa Mtwara wamekuwa wakiandamana na kuchomo mota mali ya wakuu wa serikali wanaohusika na mpango wa kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam
2/7Magari ya serikali yaliyochomwa moto Mtwara
Kwa takriban siku nne mfululizo wakazi wa Mtwara wamekuwa wakiandamana na kuchomo mota mali ya wakuu wa serikali wanaohusika na mpango wa kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam
3/7Bango kuhusiana na mzozo wa gesi Mtwara
Kwa takriban siku nne mfululizo wakazi wa Mtwara wamekuwa wakiandamana na kuchomo mota mali ya wakuu wa serikali wanaohusika na mpango wa kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam
4/7Nyumba yawaka moto Mtwara kufuatia maandamano dhidi ya kusafirisha gesi kutioka Mtwara hadi Dar es Salaam
Kwa takriban siku nne mfululizo wakazi wa Mtwara wamekuwa wakiandamana na kuchomo mota mali ya wakuu wa serikali wanaohusika na mpango wa kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam
5/7Nyumba yawaka moto Mtwara
Kwa takriban siku nne mfululizo wakazi wa Mtwara wamekuwa wakiandamana na kuchomo mota mali ya wakuu wa serikali wanaohusika na mpango wa kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam
Kwa takriban siku nne mfululizo wakazi wa Mtwara wamekuwa wakiandamana na kuchomo mota mali ya wakuu wa serikali wanaohusika na mpango wa kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam
7/7Nyumba ya mbunge iliyovunjwa na waandamanaji Mtwara
Kwa takriban siku nne mfululizo wakazi wa Mtwara wamekuwa wakiandamana na kuchomo mota mali ya wakuu wa serikali wanaohusika na mpango wa kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam
Previous slide
Next slide
Bunge la Tanzania limeunda kamati maalumu ya wabunge watakaokwenda mikoa ya kusini Mtwara na Lindi kutathmini mzozo wa gesi katika mikoa hiyo.
Spika wa bunge Anne Makinda amesema kamati hiyo itarejesha matokeo yatakayopatikana na baadae kujadiliwa katika baraza la bunge lililoanza Jumatatu.
Wakazi wa mtwara wanapinga Serikali ya Tanzania kutumia bomba kusafirisha gesi iliyogundulika mkoani humo kwenda Dar es salaam hali iliyozua ghasia na kusababisha maafa ya watu.
Hadi sasa Serikali ya Tanzania imesisitiza kuendelea na msimamo wake wa kusafirisha gesi hiyo . Tayari kuna vikao kadhaa vimefanywa ili kuona jinsi ya kutatua mzozo huo lakini hakuna mafanikio yoyote.
Hivi karibuni rais Jakaya Kikwete alinukuliwa na vyombo vya habari vya Tanzania akisema kuwa kama kila mkoa utagomea rasilimali zake basi nchi itapasuka vipandevipande hali iliyochechea tafrani.