Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Juni 09, 2026 Local time: 09:22

Wamarekani wapiga kura katika uchaguzi wenye ushindani mkubwa

Voters at their voting machines at the Utah State Capitol Tuesday, Nov. 6, 2012, in Salt Lake City.
Voters at their voting machines at the Utah State Capitol Tuesday, Nov. 6, 2012, in Salt Lake City.
Uchunguzi wa maoni ya uchaguzi wa Rais, siku moja kabla ya upigaji kura unaonesha Rais Barack Obama na mpinzani wake Gavana Mitt Romney wako sare asilimia 49 kwa asilimia 49. Hivyo wachambuzi wanasema mshindi wa uchaguzi huu ataamuliwa kutokana na kura za wajumbe wa Baraza la Majimbo.

Mobhare Matinyi, mchambuzi wa masuala ya kisiasa mjini Washington anasema huwenda hata wagombea hao wakatokea sare kwa kupata kura sawa za wajumbe wa baraza la majimbo ambapo kuna wajumbe 538.

please wait

No media source currently available

0:00 0:03:22 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

Anasema hali hiyo ikijitokeza basi itakuwa ni juu ya bunge jipya kumchagua Rais na Makamu Rais. Katika uchaguzi wa rais wa Marekani mgombea anahitaji kupata kura 270 za wajumbe wa majimbo ili kuweza kuchukua madaraka.

Bwana Matinyi anasema, wagombea wakipata kura 269 kila mmoja basi Baraza la Wawakilishi linamchagua rais na Baraza la Senet linamchagua Makamu Rais.Kuna uwezekano wa kuwepo na Rais wa chama kimoja na Makamu Rais kutoka chama kingine kwa kutegemea chama gani kinadhibiti mabaraza hayo mawili.

Wamarekani washiriki katika uchaguzi mkuu

Bob Auletta makes his way into a polling place at Toms River East High School to vote on Election Day in Toms River, New Jersey, November 6, 2012.
1/14 Bob Auletta makes his way into a polling place at Toms River East High School to vote on Election Day in Toms River, New Jersey, November 6, 2012.
Mamilioni ya Wamarekani wanapiga kura kumchagua rais mpya na bunge jipya. Uchunguzi wa maoni unaonesha Rais Barak Obama akiwa sare na Gavana Mitt Romney.
Friends and campaign workers line the highway across  from the voting headquarters in Bronson, Florida, November 6, 2012.
2/14 Friends and campaign workers line the highway across from the voting headquarters in Bronson, Florida, November 6, 2012.
Mamilioni ya Wamarekani wanapiga kura kumchagua rais mpya na bunge jipya. Uchunguzi wa maoni unaonesha Rais Barak Obama akiwa sare na Gavana Mitt Romney.
Fire house in Bradley Beach, New Jersey, becomes the only voting facility for residents who usually have four during general elections , all due to Superstorm Sandy, November 6, 2012. (Celia Mendoza/VOA)
3/14 Fire house in Bradley Beach, New Jersey, becomes the only voting facility for residents who usually have four during general elections , all due to Superstorm Sandy, November 6, 2012. (Celia Mendoza/VOA)
Mamilioni ya Wamarekani wanapiga kura kumchagua rais mpya na bunge jipya. Uchunguzi wa maoni unaonesha Rais Barak Obama akiwa sare na Gavana Mitt Romney.
President Barack Obama calls Wisconsin volunteers as he visits a campaign office call center the morning of the 2012 election in Chicago, November 6, 2012.
4/14 President Barack Obama calls Wisconsin volunteers as he visits a campaign office call center the morning of the 2012 election in Chicago, November 6, 2012.
Mamilioni ya Wamarekani wanapiga kura kumchagua rais mpya na bunge jipya. Uchunguzi wa maoni unaonesha Rais Barak Obama akiwa sare na Gavana Mitt Romney.
Poll workers Eva Prenga, right, Roxanne Blancero, center, and Carole Sevchuk try to start an optical scanner voting machine in the cold and dark at a polling station in a tent in the Midland Beach section of Staten Island, New York, November 6, 2012. The original polling site, a school, was damaged by Superstorm Sandy.
5/14 Poll workers Eva Prenga, right, Roxanne Blancero, center, and Carole Sevchuk try to start an optical scanner voting machine in the cold and dark at a polling station in a tent in the Midland Beach section of Staten Island, New York, November 6, 2012. The original polling site, a school, was damaged by Superstorm Sandy.
Mamilioni ya Wamarekani wanapiga kura kumchagua rais mpya na bunge jipya. Uchunguzi wa maoni unaonesha Rais Barak Obama akiwa sare na Gavana Mitt Romney.
Republican presidential candidate, former Massachusetts Gov. Mitt Romney and wife Ann Romney vote in Belmont, Massachusetts, November 6, 2012.
6/14 Republican presidential candidate, former Massachusetts Gov. Mitt Romney and wife Ann Romney vote in Belmont, Massachusetts, November 6, 2012.
Mamilioni ya Wamarekani wanapiga kura kumchagua rais mpya na bunge jipya. Uchunguzi wa maoni unaonesha Rais Barak Obama akiwa sare na Gavana Mitt Romney.
Voters line up outside a polling station at Yorkshire Elementary School in Manassas, in Prince William County, Virginia, November 6, 2012. (David Byrd/VOA)
7/14 Voters line up outside a polling station at Yorkshire Elementary School in Manassas, in Prince William County, Virginia, November 6, 2012. (David Byrd/VOA)
Mamilioni ya Wamarekani wanapiga kura kumchagua rais mpya na bunge jipya. Uchunguzi wa maoni unaonesha Rais Barak Obama akiwa sare na Gavana Mitt Romney.
Lindsay Reiter votes while holding her 5-month-old daughter, Savannah, at an elementary school in Bowling Green, Ohio, November 6, 2012.
8/14 Lindsay Reiter votes while holding her 5-month-old daughter, Savannah, at an elementary school in Bowling Green, Ohio, November 6, 2012.
Mamilioni ya Wamarekani wanapiga kura kumchagua rais mpya na bunge jipya. Uchunguzi wa maoni unaonesha Rais Barak Obama akiwa sare na Gavana Mitt Romney.
People prepare to cast their ballots inside a polling station just after midnight on November 6, 2012 in Dixville Notch, New Hampshire, the very first voting to take place in the 2012 U.S. presidential election.
9/14 People prepare to cast their ballots inside a polling station just after midnight on November 6, 2012 in Dixville Notch, New Hampshire, the very first voting to take place in the 2012 U.S. presidential election.
Mamilioni ya Wamarekani wanapiga kura kumchagua rais mpya na bunge jipya. Uchunguzi wa maoni unaonesha Rais Barak Obama akiwa sare na Gavana Mitt Romney.
Ballots are removed from the ballot box to be counted in Dixville Notch, New Hampshire, November 6, 2012, as they cast the first Election Day votes in the nation.
10/14 Ballots are removed from the ballot box to be counted in Dixville Notch, New Hampshire, November 6, 2012, as they cast the first Election Day votes in the nation.
Mamilioni ya Wamarekani wanapiga kura kumchagua rais mpya na bunge jipya. Uchunguzi wa maoni unaonesha Rais Barak Obama akiwa sare na Gavana Mitt Romney.
The votes sheet shows the results from Dixville Notch, New Hampshire, November 6, 2012 after residents cast the first Election Day votes in the nation. After 43 seconds of voting.
11/14 The votes sheet shows the results from Dixville Notch, New Hampshire, November 6, 2012 after residents cast the first Election Day votes in the nation. After 43 seconds of voting.
Mamilioni ya Wamarekani wanapiga kura kumchagua rais mpya na bunge jipya. Uchunguzi wa maoni unaonesha Rais Barak Obama akiwa sare na Gavana Mitt Romney.
U.S. Republican Presidential candidate Mitt Romney (L) and his wife Ann Romney (R) at a rally late November 5, 2012, at the Verizon Wireless Arena in Manchester, New Hampshire.
12/14 U.S. Republican Presidential candidate Mitt Romney (L) and his wife Ann Romney (R) at a rally late November 5, 2012, at the Verizon Wireless Arena in Manchester, New Hampshire.
Mamilioni ya Wamarekani wanapiga kura kumchagua rais mpya na bunge jipya. Uchunguzi wa maoni unaonesha Rais Barak Obama akiwa sare na Gavana Mitt Romney.
U.S. President Barack Obama speaks at his last campaign rally in Des Moines, Iowa, November 5, 2012.
13/14 U.S. President Barack Obama speaks at his last campaign rally in Des Moines, Iowa, November 5, 2012.
Mamilioni ya Wamarekani wanapiga kura kumchagua rais mpya na bunge jipya. Uchunguzi wa maoni unaonesha Rais Barak Obama akiwa sare na Gavana Mitt Romney.
People vote early at a polling station in Chicago, Illinois, November 5, 2012. (Ramon Taylor/VOA)
14/14 People vote early at a polling station in Chicago, Illinois, November 5, 2012. (Ramon Taylor/VOA)
Mamilioni ya Wamarekani wanapiga kura kumchagua rais mpya na bunge jipya. Uchunguzi wa maoni unaonesha Rais Barak Obama akiwa sare na Gavana Mitt Romney.
Previous slide
Next slide


Upigaji kura ukiwa unaendelea katika majengo ya shule, makanisha na vituo vya zima moto, wagombea wa kiti cha rais waliendelea na kampeni za kuwahamasisha wapiga kura kwenda kupiga kura zao kwani matokeo ya uchaguzi huu utategemea ni chama gani kwa hakika kinafanikiwa kuwavutia wafuasi wao kupiga kura.
This item is part of
XS
SM
MD
LG