Kampeni za uchaguzi Marekani katika awamu za mwisho
1/11
President Barack Obama waves to supporters during a campaign event at McArthur High School, Hollywood, Florida, November 4, 2012.
Wagombea kiti cha rais Barack na Mitt Romney wakikamilisha kampeni zao katika majimbo yenye ushindani mkubwa.
2/11
Republican presidential candidate Mitt Romney speaks during a campaign event at the Newport News International Airport, Newport News, Virginia, November 4, 2012.
Wagombea kiti cha rais Barack na Mitt Romney wakikamilisha kampeni zao katika majimbo yenye ushindani mkubwa.
3/11
A panoramic view of President Obama's rally at the Wisconsin State Capitol in Madison, November 5, 2012. (Kane Farabaugh/VOA)
Wagombea kiti cha rais Barack na Mitt Romney wakikamilisha kampeni zao katika majimbo yenye ushindani mkubwa.
4/11
A panoramic view of President Obama's rally at the Wisconsin State Capitol in Madison, November 5, 2012. (Kane Farabaugh/VOA)
Wagombea kiti cha rais Barack na Mitt Romney wakikamilisha kampeni zao katika majimbo yenye ushindani mkubwa.
5/11
Republican vice presidential candidate Paul Ryan speaks during a campaign event at the Douglas County Fairgrounds, Castle Rock Colorado, November 4, 2012.
Wagombea kiti cha rais Barack na Mitt Romney wakikamilisha kampeni zao katika majimbo yenye ushindani mkubwa.
6/11
President Barack Obama speaks at a campaign rally at the Community College of Aurora, in Aurora, Colorado, November 4, 2012.
Wagombea kiti cha rais Barack na Mitt Romney wakikamilisha kampeni zao katika majimbo yenye ushindani mkubwa.
7/11
A supporter listens to President Obama at a campaign event at Austin Straubel International Airport in Green Bay, Wisconsin, November 1, 2012.
Wagombea kiti cha rais Barack na Mitt Romney wakikamilisha kampeni zao katika majimbo yenye ushindani mkubwa.
8/11
Wearing a mask on Halloween, Carol Heye of Riverview, Florida, shows her support for Mitt Romney as he campaigns in Tampa, Florida, October 31, 2012.
Wagombea kiti cha rais Barack na Mitt Romney wakikamilisha kampeni zao katika majimbo yenye ushindani mkubwa.
9/11
Supporters listen to Republican Presidential candidate Mitt Romney during a rally at the Veterans Memorial Coliseum in Marion, Ohio, October 28, 2012.
Wagombea kiti cha rais Barack na Mitt Romney wakikamilisha kampeni zao katika majimbo yenye ushindani mkubwa.
Previous slide
Next slide
Jumanne ni siku muhimu kwa wapiga kura wa Marekani kuhitimisha zoezi la upigaji kura katika majimbo yote ili kumpata mshindi katika uchaguzi wa urais ulio na ushindani mkubwa.
Rais wa Marekani Barack Obama na mpinzani wake Mitt Romney siku ya jumatatu walifanya kampeni za dakika za mwisho kwa wapiga kura katika majimbo muhimu ikiwa imebakia siku moja kabla ya uchaguzi katika juhudi za mwisho kuvunja ushindani.
Katika majimbo ya wisconsin , rais Obama alimshutumu bwana Romney kwa kujaribu kurejesha mawazo mabaya aliyoyatoa kabla na kusema taifa haliwezi kufanikiwa bila kuwa na daraja la kati lenye nguvu.
Kwenye mkutano wa jana asubuhi katika jimbo la kusini la Florida bwana Romney aliwaambia wafuasi wake kwamba kiongozi huyo aliyoko madarakani Mdemocrat ameshindwa kutekeleza ahadi zake wakati aliposhinda kiti cha urais mwaka 2008.