Jumapili, Mei 19, 2013 Local time: 19:52

Katika Picha

ukubwa wa habari - +

Kandanda Wiki hii, Mei 10, 2013

Alex Ferguson meneja wa Manchester United astahafu

Mkutano wa London juu ya Somalia.

Zaidi ya viongozi 50 wamehudhuia mkutano wa London juu ya kuisaidia serikali ya Somalia kuimarisha mfumo wake wa usalama na mahakama.

Kandanda Wiki hii, Mei 03, 2013

Michuano ya nusu finali ya kombe la vilabu bingwa Ulaya.

Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani - May Day

Wafnayakzi kote duniani isipokua Marekani wameshiriki katika sherehe mbali mbali za Siku ya Kimataifa ya Wafanayakzi, wakidai nyongeZa za mishahara na mazingira bora ya kazi. .


Jengo la biashara la poromoka Bangladesh

Maafisa wa uwokozi wanasema jengo la biashara la gorofa 8 liliporomoka katika kitongoji cha Dhaka na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 140 na mamia wengine kujeruhiwa

Marekani na nchi nyingine zaongeza ulinzi baada ya mashambulizi ya Boston

Ulinzi unaongezwa Marekani na katika nchi nyingine kwenye majengo ya serikali, ya umma na viwanja vya michezo. Jumatatu April 15, 2013 mabomu mawili yalilipuka katika mitaa ya Boston, Marekani wakati wa mbio za marathon.

Milipuko miwli yatokea wakati wa mbio ndefu za Boston marathon

Watu watatu wameuwawa na takriban 100 kujeruhiwa baada ya mabomu mawili kulipuka karibu na eneo la kumaliza mbio za 117 za Boston marathon.

Rais Omar al-Bashir atembelea Sudan Kusini

Rais Omar al Bashir afanya ziara ya kihistoria Sudan Kusini ikiwa ni ya kwanza tangu nchi hizo mbili kutengana 2011.

Uhuru Kenyatta akabidhiwa madaraka Kenya

Rais mpya wa Ken ya Uhuru Kenyatta has ameapishwa mbele ya umati mkubwa wa watu walomshangiria na kupeperusha bendera ya Kenya, mjini Nairobi.

Margaret Thatcher, 1925-2013

Waziri Mkuu wa Uingereza Margaret Thatcher afariki dunia akiwa na umri wa miaka 87 kutokana na kiharusi.

Wasifu wa Uhuru Kenyatta katika picha

Uhuru Kenyatta amefika katika uwongozi wa Kenya baada ya kufanya kazi katika idara na wizara mbali mbali ya serikali ya Kenya kabla ya kuingia katika siasa mwanzoni mwa miaka 2000 .

Jengo laporomoka Dar es Salaam

A 12-story building in the final stages of construction collapsed in Dar es Salaam, killing at least two people.

Nelson Mandela

Baadhi ya wakati muhimu ya maisha ya rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Mandela


Rais Obama atembelea Mashariki ya Kati

Rais wa Marekani Barack Obama ameanza ziara yake ya Mashariki ya Kati kwa kutembelea kwanza Israel kabla ya kwenda Ukingo wa Magharibi na Jordan

Kuapishwa kwa Papa Francis

Papa Francis atowa wito kwa viongozi wote duniani kuwalinda watu na mazingira, na kuepukana na chuki, wivu na kujivuna alipoapishwa rasmi Jumanne mbele ya waumini 150 000, kwenye uwanja wa Saint Peter huko Vatican.

Wakenya wasubiri matokeo ya uchaguzi wa rais

Kura zinahesabiwa katika kituo cha Naivasha

Wakenya wasubiri kumjua nani rais wao mpya huku wengi wakisherekea ushindi wa magavana, seneta na wabunge wao


Mwanariadha wa afrika wenye miguu ya bandia ashtakiwa kwa mauwaji

wanarisdha mashuhuri wa Afrika Kusini mwenye miguu ya bandia Oscar Pistorius,ameshtakiwa kwa mauwaji rafiki yake mwanamke nyumbani kwake Pretoria.