Rais wa Marekani Joe Biden Jumanne ameeleza kubomoka kwa daraja la Baltimore ni “ajali mbaya,” na kuahidi kurejesha huduma za bandari kuu ya East Coast kwa haraka iwezekanavyo baada ya meli ya mizigo kugonga nguzo ya daraja hilo.
Gavana wa Jimbo la Maryland, Wes Moore, ameweka wazi kuwa hapakuwa na kitendo chochote cha kigaidi baada ya daraja kuu katika mji wa Baltimore kubomoka Jumanne asubuhi wakati meli iliyobeba mizigo kugonga nguzo yake.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken akutana na Waziri wa Ulinzi wa Israel Yoav Gallant Jumatatu katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani mjini Washington.
Rais Putin ameliita tukio hilo kuwa ni kitendo cha umwagaji damu, cha kikatili na kigaidi na kusema waliohusika moja kwa moja wamekamatwa
Mateka waliookolewa wamekabidhiwa kwa serikali ya jimbo la Sokoto kwa hatua Zaidi, alisema Meja Jenerali Edward Buba.
Jeshi la anga la Ukraine limesema Jumamosi nchi hiyo inaendelea kujikomboa kutokana na mashambulizi ya Russia ya Ijumaa
Vikosi vya Marekani vilifanya mashambulizi ya kujilinda dhidi ya vituo vya kuhifadhi silaha vya chini ya ardhi vya wa-Houthi
Ongezeko la njaa linachochea mgogoro wa usalama unaoitikisa Haiti huku magenge ya uhalifu yakiendelea na harakati zake
Guterres anapanga kurudia wito wake wa kusitisha mapigano kwa ajili ya msaada wa kibinadamu
Watazamaji wa televisheni kote duniani watapata ripoti maalum ya hali ya hewa Alhamisi wakati watoto watakapokuwa kwenye televisheni wakitoa utabiri maalum wa hali ya hewa kuhusu mustakabali wao – tishio la mgogoro wa hali ya hewa.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken amesema mwaka 2024 ni mwaka wa uchaguzi usio wa kawaida wa kuangazia hatari kwa habari potofu na za uongo katika mitandao kwenye Mkutano wa demekrasia unaofanyika mjini Seoul leo.
Putin aliwaambia wafuasi wake anauchukulia uchaguzi huo ni wa kidemokrasia na kuwafuta kazi walioupinga
Pandisha zaidi