Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 16:58

Watu saba wajeruhiwa kwenye shambulizi la bomu kusini mwa Nigeria


Askari akikagua gari lililolipuliwa karibu na Kanisa katoliki la Mt. Theresa huko Madalla, Nigeria, Sunday,Jumapili Dec. 25, 2011.
(AP Photo/Dele Jones)
Askari akikagua gari lililolipuliwa karibu na Kanisa katoliki la Mt. Theresa huko Madalla, Nigeria, Sunday,Jumapili Dec. 25, 2011. (AP Photo/Dele Jones)

Shambulizi la bomu kusini mwa Nigeria kwenye shule ya kiarabu lajeruhi watoto 6 katika jimbo la Delta.

Polisi kusini mwa Nigeria wanasema washambuliaji wamerusha bomu kwenye shule ya kiarabu huko kusini, na kujeruhi watu 7 siku kadhaa baada ya mfululizo wa mabomu yaliouwa watu katika makanisa nchini humo.

Maafisa wanasema mlipuko huo ulitokea Jumanne katika jimbo la Delta wakati bomu hilo la kutengenezwa kienyeji lilirushwa kutoka kwenye gari. Watoto 6 ni kati ya waliojeruhiwa.

Shambulizi hilo linafuatia mfululizo wa mabomu manne yaliouwa watu wapatao 39.



XS
SM
MD
LG