Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 10:47

Washukiwa wa shambulizi la Mpeketoni waachiwa huru


Mashambulizi ya ugaidi yamekuwa yakitokea mara kwa mara nchini Kenya.
Mashambulizi ya ugaidi yamekuwa yakitokea mara kwa mara nchini Kenya.

Mahakama ya juu huko Mombasa nchini kenya iliwaachia huru washukiwa wa shambulizi la ugaidi mfanyabiashara kutoka Malindi, Mahadi Swaleh mahadi pamoja na mwenzake Dyana Salim Suleiman.

Washukiwa hawa walihusishwa katika shambulizi lililotokea Mpeketoni mwezi Juni mwaka 2014 na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 60 na majeruhi kadhaa.

Mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Kenya, Kasuja Onyanyi alisema kwamba hatua iliyofikiwa na mahakama nchini kenya ni pigo kubwa sana kwa vyombo vya usalama wa nchi kupigana na ugaidi kwa sababu wengi wa wakenya hawatakuwa na Imani na maamuzi ya mahakama.

please wait

No media source currently available

0:00 0:03:28 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

XS
SM
MD
LG