Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 02:48

Vitu vinavyoelea Bahari ya Hindi huenda vikawa mabaki ya ndege ya Malaysia


Indonesia Malaysia Plane
Indonesia Malaysia Plane
Waziri mkuu wa Australia Tony Abbott ameliambia bunge kwamba picha za setaliti zinaonesha vifaa vinavyo fanana na mabaki ya ndege ya Malyasia iliyopotea nje ya pwani ya kusini magharibi ya Australia katika eneo kusini ya Bahari ya HIndi.

Bw. Abbott anasema ndege ya kijeshi imepelekwa katika eneo hilo na inatazamiwa kuwasili Alhamisi mchana saa za Austrlia, na ndege nyingine tatu zitapelekwa kuanza uchunguzi wa kina kutafuta eneo hilo.

Hata hivyo Bw Abbot alionya kwamba kazi za kutafuta na kupata vyombo hivyo inaweza kua ngumu na huwenda visihusiane na ndege hiyo nambari MH370.
XS
SM
MD
LG