Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 04:06

Wananchi wa Burkina Faso wapinga mapinduzi ya kijeshi

Kundi la watu limeanza kukusanyika kwenye uwanja wa Mapinduzi katika mji mkuu wa Ougadougu Jumatano usiku kupinga mapinduzi yaliyofanywa na jeshi mwezi mmoja kabla ya uchaguzi mkuu.

.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG