Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 19, 2024 Local time: 10:23

Rais wa Kenya atembelea wanajeshi hospitalini


Rais uhuru Kenyatta siku ya Ijumaa aliwatembelea wanajeshi waliojeruhiwa kufuatia shambulizi la kambi yao katika eneo la El Ade lililowaua wanajeshi wenzao. Kenyatta aliwafariji walinda usalama hao katika hospitali ya Forces Memorial mjini Nairobi.
Rais uhuru Kenyatta siku ya Ijumaa aliwatembelea wanajeshi waliojeruhiwa kufuatia shambulizi la kambi yao katika eneo la El Ade lililowaua wanajeshi wenzao. Kenyatta aliwafariji walinda usalama hao katika hospitali ya Forces Memorial mjini Nairobi.

Rais uhuru Kenyatta siku ya Ijumaa aliwatembelea wanajeshi waliojeruhiwa kufuatia shambulizi la kambi yao katika eneo la El Ade lililowaua wanajeshi wenzao. Kenyatta aliwafariji walinda usalama hao katika hospitali ya Forces Memorial mjini Nairobi. Tazama video hapa;

Uhuru visits injured soldiers
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:33 0:00

XS
SM
MD
LG