Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 01:40

Uganda yalaumiwa kutumia fedha vibaya.


Jengo la Bunge la Uganda.
Jengo la Bunge la Uganda.
Ripoti ya mkaguzi mkuu wa serikali ya Uganda, inaikosoa serikali kwa matumizi mabaya na wizi wa mabilioni ya pesa katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:19 0:00
Kiungo cha moja kwa moja
Akiwasilisha ripoti hiyo kwa spika wa bunge, mkaguzi mkuu wa serikali John Muwanga, amefichua kwamba serikali imepoteza zaidi ya shilingi trilioni 5 kupitia mazigira yasiyoeleweka.
Wiara ya serikali za mitaa hasa imelaumiwa kwa utumizi wa zaidi ya shilingi bilioni tatu kwa miradi ambayo haikuwa kwenye bageti,huku bilioni 635 zikishukiwa kuwekwa kwenye akauti za kibinafsi.
XS
SM
MD
LG