Muungano wa wamiliki viwanda nchini Uganda Ijumaa limewasilisha ombi kwa Bunge likitaka Uganda ianze mikakati ya kujiondoa kwenye muungano wa jumuia ya Afrika Mashariki kutokana na hatua ya Serikali ya Kenya ya kususia bidhaa kutoka Uganda.

please wait

No media source currently available

0:00 0:02:08 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

Wenye viwanda hao walisema mbele ya kamati ya Bunge kuwa hatua hiyo ya Kenya ianonesha wazi kuwa Umoja wa Afrika Mashariki hauheshimiwi na kwa hivyo hakuna sababu ya Uganda kubaki ndani yake.

Mwandishi wetu wa Kampala Kennes Bwire anaripoti. Bonyeza kwa taarifa zaidi.