Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 16, 2024 Local time: 07:06

Madereva wa Uber waandamana Nairobi


FILE -An April 14, 2015 photo shows drivers in queues of traffic on a highway in downtown Nairobi, Kenya. Taxi operators want Kenya's government to stop ride-sharing app Uber's operations.
FILE -An April 14, 2015 photo shows drivers in queues of traffic on a highway in downtown Nairobi, Kenya. Taxi operators want Kenya's government to stop ride-sharing app Uber's operations.

Takriban juma moja baada ya Shirika la Uber nchini Kenya kupunguza ada zake za nauli kwa wateja wake jijini Nairobi kwa asilimia 35%, siku ya Jumanne jijini humo washirika wake ambao ni madereva na wamiliki wa magari wanaotumia mtandao wake wameandamana kulalamikia kupunguzwa kwa ada hizo pasi kuhusishwa katika mashauriano.

Mwandishi wa VOA mjini Nairobi, Kennedy Wandera ana taarifa kamili;

please wait

No media source currently available

0:00 0:03:13 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

XS
SM
MD
LG