Polisi wa Uingereza wamewakamata watu watano kwa shutuma za kuandaa mashambulizi ya ugaidi.
Maafisa wanasema ukamataji huo ni sehemu uchunguzi uliojumuisha Ubelgiji na Ufaransa.
Maafisa wanasema wanaume watatu na wanawake watatu waliwekwa katika kizuizi huko Birmingham jama Alhamis, huku mwanamme mmoja alishikiliwa leo kwenye uwanja wa ndege wa Gatwick mjini London.