Msemaji wa wizara ya usalama Mohamed Yusuf ameiambia Idhaa ya Kisomali ya sauti ya Amerik, kwamba watu 18 waliuwawa na wengine wasiopungua 15 walijeruhiwa katika shambulizi kwenye wizara ya elimu ya juu ya nchi hiyo.
Watu 18 wauwawa Mogadishu kutokana na shambuliop la Al Shabab
Msemaji wa wizara ya usalama Mohamed Yusuf ameiambia Idhaa ya Kisomali ya sauti ya Amerik, kwamba watu 18 waliuwawa na wengine wasiopungua 15 walijeruhiwa katika shambulizi kwenye wizara ya elimu ya juu ya nchi hiyo.