Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 15:34

Obama atembelea msikiti kwa mara ya kwanza Marekani

Rais Barack Obama wa Marekani Jumatano alifanya ziara yake ya kwanza katika msikiti nchini Marekani tangu aingie madarakani na kutumia ziara hiyo kupinga kauli zinazotolewa hasa wakati huu wa uchaguzi dhidi ya waislamu.


Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG