Rais Barack Obama ametoa hotuba yake ya mwisho kwa taifa kwenye uwanja wa McCormick mjini Chicago siku ya Jumanne usiku mbele ya maelfu ya wafuasi wake. Alizungumzia mafanikio yake ya miaka minane na kuwahimiza wananchi kuendelea kujihusisha na siasa.
Rais Obama atoa hotuba ya kuwaaga Wamarekani
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017