Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 15:04

Rais Obama atoa hotuba ya kuwaaga Wamarekani

Rais Barack Obama ametoa hotuba yake ya mwisho kwa taifa kwenye uwanja wa McCormick mjini Chicago siku ya Jumanne usiku mbele ya maelfu ya wafuasi wake. Alizungumzia mafanikio yake ya miaka minane na kuwahimiza wananchi kuendelea kujihusisha na siasa.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG