Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 20:35

Balozi wa Marekani Christopher Stevens

Balozi wa Marekani nchini Libya na wafanyakazi watatu wa ubalozi wameuliwa baada ya kundi la watu kuvamia afisi ya ubalozi mdogo wa Marekani katika mji wa mashariki wa Benghazi usiku Jumanne. J. Christopher Stevens,ni mmoja kati ya maafisa wenye ujuzi mkubwa wa mashariki ya kati katika wizara ya mambo ya kigeni.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG