Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 01:12

Uganda yaadhimisha miaka 30 ya utawala wa NRM.


Rais wa Uganda President Yoweri Museveni.
Rais wa Uganda President Yoweri Museveni.

Rais wa Uganda Yoweri Museveni ameadhimisha miaka 30 madarakani Jumanne kwa kuwapa ahadi wakulima ya kuwatafutia soko la bidhaa zao katika nchi za kimataifa pamoja na kuunda kiwanda cha mbolea.

please wait

No media source currently available

0:00 0:02:30 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

Museveni anayetafuta mhula mwingine wa miaka mitano zaidi, ameahidi kuhakikisha Uganda inaingia kwenye orodha ya nchi tajiri duniani katika kipidi cha miaka 16 ijayo huku akiwaonya wapinzani wake wa kisiasa dhidi ya siasa za fujo na uchochezi..

XS
SM
MD
LG