Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 19:48

Maandamano ya kupinga sera za Trump yaendelea


Maandamano ya kupinga sera za Trump yaendelea
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:49 0:00

Baadhi ya miji mikubwa ya Marekani iliendelea kushuhudia maandamano kwa siku ya nne mfululizo ya kupinga kuchaguliwa kwa rais mteule Donald Trump na baadhi ya sera zake.

XS
SM
MD
LG