Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 13:47

Soko kuu la Westgate mjini Nairobi lashambuliwa

Maafisa wa usalama wamechukua udhibiti wa soko kuu la biasahra la Westgate Shopping Centre mjini Nairobi Septemba 21, 2013. Washambulizi wakiwa na bunduki walishambulia soko hilo lenya maduka ya kifahari siku ya jumamosi na kuwauwa takriban watu 30, katika kile maafisa wa Kenya wanaeleza ni shambulio la kigaidi. Tahadhari kuna picha za kustusha.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG