Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 16, 2024 Local time: 13:51

Marekani yaongoza kwa medali za dhahabu Rio


United States' gold medal winner Lilly King is flanked by Russia's silver medal winner Yulia Efimova, left, and United States' bronze medal winner Katie Meili during the ceremony for the women's 100-meter breaststroke final during the swimming competition
United States' gold medal winner Lilly King is flanked by Russia's silver medal winner Yulia Efimova, left, and United States' bronze medal winner Katie Meili during the ceremony for the women's 100-meter breaststroke final during the swimming competition

Mashindano ya Olimpiki Jumanne yaliingia katika siku yake ya nne mjini Rio De Jenairo, Brazil. Kufikia Jumatatu usiku, Marekani ilikuwa ikiongoza kwa wingi wa medali, huku ikiwa na medali tano za dhahabu, saba za fedha na saba za shaba.

China ilikuwa kwenye nafasi ya pili ikiwa na medali tano za dhahabu, tatu za fedha na tano za shaba. Japan, Russia na Italia zilikuwa zinafuatana kwa wingi wa medali.

Baadhi ya nyota walioshinda dhahabu hiyo jana, ni pamoja na muogeleaji maarufu wa Marekani Michel Pheps ambaye kufikia sasa ameshashinda medali 23 katika mashindano yote ya Olimpiki aloshiriki, na hivyo basi kuwa mwanariadha aliyepata medali nyingi Zaidi za dhahabu katika historia ya mashindano ya msimu wa kiangazi ya Olimpiki.

XS
SM
MD
LG