Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 07:51

Mahakama ya Uganda yaidhinisha ushindi wa Museveni


Rais Yoweri Museveni wa Uganda
Rais Yoweri Museveni wa Uganda

Mahakama nchini Uganda imeidhinisha ushindi wa Yoweri Museveni kama Rais wa Uganda kwa mhula wa tano kufuatia uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Februari mwaka huu.

Jopo la majaji 9 lilitupilia mbali rufaa iliyowasilishwa na Amama Mbabazi aliyekuwa mgombea urais kupitia chama cha upinzani cha Go Forward, ambaye alipinga ushindi wake Museveni, kutokana na ukosefu wa ushahidi.

Taarifa kamili na mwandishi wa Sauti ya Amerika-VOA, Kennes Bwire kutoka kampala nchini Uganda.

XS
SM
MD
LG