Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 18:06

Magufuli azungumzia kuimarisha uhusiano wake na Kenyatta


Rais Uhuru Kenyatta akimkaribisha mwenzake John Magufuli ikulu Nairobi
Rais Uhuru Kenyatta akimkaribisha mwenzake John Magufuli ikulu Nairobi

Rais wa Tanzania John Pombe Mgufuli, siku ya Jumatatu alitetea uhusiano wake na rais Uhuru Kenyatta na kusema kuwa tofauti na tetesi kwamba uhusiano wa kidiplomasia umezorota ni mambo yasio na msingi.

Alisisitiza kwamba wanazungumza kila mara kwa mara kwa njia ya simu juu ya uhusiano kati ya nchi zao na masuala mengine ya kikanda na kimataifa.

Rais Magufuli alifafanua suala hilo la uhusiano alipozungumza na waandishi wa habari akiwa katika ziara yake ya kwanza Kenya tangu kuchukua madaraka mwaka mmoja uliyopita.

Magufuli azungumzia uhusiano wake na Kenyatta
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:18 0:00

Na BMJ Muriithi

XS
SM
MD
LG