Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 17:54

Kiongozi wa zamani wa Amama Mbabazi amejitokeza hadharani


Amama Mbabazi, mgombea wa zamani wa urais nchini Uganda.
Amama Mbabazi, mgombea wa zamani wa urais nchini Uganda.

Aliyekuwa kiongozi wa kikosi cha usalama cha Amama Mbabazi wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu nchini Uganda, Christopher Aine, amejitokeza hadharani siku 90 baada ya kutoweka na hata kudhaniwa kwamba alikuwa ameuawa.

Polisi nchini humo walitoa kitita cha shilingi milioni ishirini, pesa za Uganda, kwa mtu yeyote atakeyetoa taarifa zitakazopelekea kujua mahali alipo Aine, akiwa mfu au hai, lakini Aine amejitokeza ghafla hadharani akiandamana na ndugu wa Rais Yoweri Museveni, aitwaye Salim Saleh.

Ifuatayo ni taarifa ya mwandishi wa VOA mjini Kampala, Kennes Bwire.

please wait

No media source currently available

0:00 0:02:58 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

XS
SM
MD
LG