Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 15:43

Serikali ya Kenya yakanusha ripoti ya mauaji ya kiholela


Waziri wa usalama wa ndani wa Kenya Joseph ole Nkaissery kwenye picha hii iliyopigwa Feb. 19, 2015, akiwa ziarani mjini Washington DC. Siku ya Jumanne Nkaissery alitetea kikosi cha polisi nhini Kenya dhidi ya shutuma za mauaji ya kiholela. PICHA/MAKTABA
Waziri wa usalama wa ndani wa Kenya Joseph ole Nkaissery kwenye picha hii iliyopigwa Feb. 19, 2015, akiwa ziarani mjini Washington DC. Siku ya Jumanne Nkaissery alitetea kikosi cha polisi nhini Kenya dhidi ya shutuma za mauaji ya kiholela. PICHA/MAKTABA

Na BMJ Muriithi

Waziri wa Usalama wa ndani nchini Kenya Joseph Nkaissery, siku ya Jumanne alikanusha ripoti iliyochapishwa na gazeti moja nchini humo - Daily Nation - mnamo mwishoni mwa wiki, iliyowashutumu maafisa wa polisi kwa kile ilichokiita mauaji ya kiholela ya wananchi. Akizungumza na Sauti ya Amerika kwa njia ya simu, Nkaissery alianza kwa kueleza hisia zake kuhusu ripoti kwamba zaidi ya watu mia mbili wameuawa katika kipindi cha mwaka mmoja.

please wait

No media source currently available

0:00 0:03:04 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

XS
SM
MD
LG