Serikali ya Kenya imesema iachukua hatua za tahadhari baada ya watu wawili waliokuwa wanatembelea nchi hiyo kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kufariki kutokana na homa ya manjano.
Serikali ya Kenya imesema iachukua hatua za tahadhari baada ya watu wawili waliokuwa wanatembelea nchi hiyo kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kufariki kutokana na homa ya manjano.