Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 21:24

Wakenya wamsubiri papa kwa hamu kubwa


waimba kwaya, katika kanisa la Holy Family Basilica mjini Nairobi.
waimba kwaya, katika kanisa la Holy Family Basilica mjini Nairobi.

Papa Francis asubiriwa kwa hamu sana nchini Kenya.

please wait

No media source currently available

0:00 0:02:37 0:00
Kiungo cha moja kwa moja


Wakati wiki hii kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis anatarajiwa kuzuru Kenya, misafara ya waumini imeshuhudiwa kutoka mikowani hadi mji mkuu Nairobi ambako kiongozi huyo atakutana na wakenya.

Mji wa mombasa umeripotiwa kuwa na msafara mkubwa zaidi, na jana walikuwepo kwenye maombi maalum yaloandaliwa na muungano wa dini mbali mbali nchini Kenya.

XS
SM
MD
LG