Kutokana na shinikizo linaloendelea nchini Kenya kutoka kwa muungano wa vyama vya upinzani, CORD la kuvunjwa kwa Tume huru ya Uchaguzi na Mipaka ,IEBC pamoja na maandamano ambayo yamekuwa yakishuhudiwa, Harrison Kamau wa VOA aliweza kuzungumza na Dkt Naomi Shaban ambae ni Mbunge wa Taveta na anaeengemea mrengo wa Muungano wa Jubilee pamoja na wakili Paul Mwangi ambae ni mshauri wa kiongozi wa mrengo wa CORD, Raila Odinga na akawauliza misimamo yao kuhusu swala lote hilo.
Sikiliza mahojiano kwa taarifa zaidi.