Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 12:30

Wanaharakati wamtaka Kabila kuunda serikali ya mpito DRC


Emery Damian Kalwira, kiongozi wa Congolese Coalition for Transition
Emery Damian Kalwira, kiongozi wa Congolese Coalition for Transition

Huku shinikizo zikiendelea kupamba moto kumtaka rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Joseph Kabila, ang’atuke madarakani, vyama vya upinzani na asasi za kiraia nchini humo zinamrai rais huyo kukabidhi mamlaka kwa serikali ya mpito, ili kutoa nafasi ya uchaguzi ambao zinasema utakubalika na raia wote nchini humo.

Sauti ya Amerika ilizungumza na Kiongozi wa muungano wa mpito, Coalition des Congolais pour la Transition, Emery Damian Kalwira, ambaye anaishi mjini Brussels, nchini Ubelgiji.

please wait

No media source currently available

0:00 0:10:48 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

XS
SM
MD
LG