Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 23:42

Waathiriwa wa maporomoko DRC waomba msaada


Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Joseph Kabila. Wakaazi wa Kivu Kusini wameomba serikali iwasaidie kufuatia maafa na uharibifu wa mali uliosababishwa na maporomoko ya ardhi.
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Joseph Kabila. Wakaazi wa Kivu Kusini wameomba serikali iwasaidie kufuatia maafa na uharibifu wa mali uliosababishwa na maporomoko ya ardhi.

Waathiriwa wa maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua kubwa huko Kivu kusini katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameomba serikali iwape misaada.

Hii inafuatia ripoti kwamba zaidi ya watu 120 wamefariki na wengine wengi kupoteza mali kutokana na janga hilo. Mwandishi wa idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika, Autere Malivika alitembelea eneo lililoathiriwa na kutayarisha ripoti hii:

please wait

No media source currently available

0:00 0:02:58 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

XS
SM
MD
LG