Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 17:59

Jeshi la Libya limekomboa mji wa Sirte kutoka kwa ISIS - Ripoti


Les forces libyennes combattent les jihadistes de l'État islamique à Syrte, Libye, le 24 avril 2016.
Les forces libyennes combattent les jihadistes de l'État islamique à Syrte, Libye, le 24 avril 2016.

Wanajeshi watiifu kwa serikali ya muungano ya Libya GNA, wametoa taarifa inayoeleza kwamba wamechukua udhibiti wa makao makuu ya kundi la Islamic State katika mji wa Sirte.

Marekani imekuwa ikifanya mashambulizi ya anga kwa lengo la kuiondoa Islamic State kutoka Sirte, mji muhimu wa Pwani ambao umekuwa ngome ya operesheni za kundi hilo la kigaidi.

Maafisa wa serikali ya marekani walisisitiza siku ya Jumatano kwamba hakuna wanajeshi wake ambao wanahusika katika mapigano ya moja kwa moja ardhini.

XS
SM
MD
LG