Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 11:29

ICC yaingia dosari baada ya nchi kujitoa


Mwendesha mashtaka mkuu wa ICC Fatou Bensouda, katika picha
Mwendesha mashtaka mkuu wa ICC Fatou Bensouda, katika picha

Tayari Burundi, Afrika kusini na Gambia zimewakilisha barua za kujitoa katika ICC huku Russi ikitangaza kuondoa sahihi yake na Philippines imesema itafuata.

Mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa vita ICC yenye makao yake The Hague , Rome inakabiliwa na mzozo wa nchi kujindoa katika mahakama hiyo.

Tayari Burundi, Afrika kusini na Gambia zimewakilisha barua za kujitoa katika ICC huku Russi ikitangaza kuondoa sahihi yake na Philippines imesema itafuata.

Mtangazaji wa sauti ya Amerika Mary Mgawe amefanya mahojiano na Profesa David Monda kutoka chuo kikuu cha New York na kwanza akamuuliza hatua hiyo italeta athari gani ndani ya icc

Nchi za Africa kujitoa ICC
please wait

No media source currently available

0:00 0:05:04 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

XS
SM
MD
LG