Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 02:22

Jamii ya Wanubi wataka kutambuliwa kikatiba Kenya


Tamasha la kimataifa ambalo limeshirikisha jamii ya Wanubi kutoka mataifa ya Afrika Mashariki na Kati imekamilika leo katika mji wa Mombasa nchini Kenya.
Lengo kuu la tamasha hilo ilikiwa ni kufahamiana na kutaka kutambuliwa na serikali husika za Afrika Mashariki kupitia utamaduni wao wa Kihistoria.
Tamasha hilo limeandaliwa na muungano wa Wanubi kwa ushirikano na serikali za Afrika Mashariki.
Kupitia VOA viongozi wa jumuiya ya Wanubi nchini Kenya wametaka kutambuliwa kikatiba kama kabila la 43 la Kenya.
Kwa kina unaweza kusikiliza ripoti ya mwandishi wetu wa Mombsas, Josephat Kioko, aliyeshuhudia tamasha hilo la wanubi wa Afrika Mashariki.
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:55 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

XS
SM
MD
LG