Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 21:26
Waziri Mkuu Uingereza kujiuzulu
Waziri Mkuu Uingereza kujiuzulu
- Upande wa "Ondoka" washinda katika kura ya maoni na hivyo kuifanya Uingereza kuwa nchi ya kwanza kujitoa katika Umoja wa Ulaya.
- Waziri Mkuu David Cameroon atangaza kujiuzulu ifikapo Oktoba katika mkutano mkuu wa chama chake
- Hesabu ya mwisho ya kura - "Ondoka": 17,410,742 yaishinda "Baki": 16,141,241
- Thamani ya Paundi yashuka katika viwango vya chini kuliko vyote katika kipindi cha miaka 31