Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 02:05

Besigye akwepa Polisi tena Kampala


Dkt Kiiza Besigye akihutubia wafuasi kwenye mikutano ya awali.
Dkt Kiiza Besigye akihutubia wafuasi kwenye mikutano ya awali.

Wabunge nchini Uganda Jumanne wameanza kukusana saini ili kushinikiza bunge kurejea vikao vyake na kukatiza likizo, ili kujadili hali ya wasiwasi wa kisiasa nchini.

Wabunge nchini Uganda Jumanne wameanza kukusana saini ili kushinikiza bunge kurejea vikao vyake na kukatiza likizo, ili kujadili hali ya wasiwasi wa kisiasa kufuatia hatua ya Serikali ya kumuweka aliekuwa mgombea urais wa upinzani Dkt Kiiza Besigye chini ya ulin zi mkali wa Polisi.

please wait

No media source currently available

0:00 0:02:35 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

Hayo yanajiri wakati Besigye akiripotiwa kukwepa mtego wa Polisi nyumbani kwake na kusafiri kupitia uwanja wa ndege akielekea Marekani kama anavyoeleza mwandishi wa VOA Kennes Bwire akiwa Kampala.

Bonyeza usikilize.

XS
SM
MD
LG