Vitisho vya mauaji vimeanza kuwakabili tena watu wenye ulemavu wa ngozi yaani albino nchini Tanzania, ambapo katika tukio la hivi karibuni mlemavu mmoja alishambuliwa na watu wasiojulikana na kunusurika kuuawa mkoani Tanga.
Kutoka Dar es salaam, mwandishi wa idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika, George Njogopa, anaarifu zaidi