Mamia ya abiria wakabiliwa na matatizo ya usafiri kwenye viwanja vya ndege Nairobi na Mombasa kutokana na matatizo ya nguvu za umeme. UN itaiwekea Eritrea vikwazo kwa kuvuruga Somalia.
Mamia ya abiria wakabiliwa na matatizo ya usafiri kwenye viwanja vya ndege Nairobi na Mombasa kutokana na matatizo ya nguvu za umeme. UN itaiwekea Eritrea vikwazo kwa kuvuruga Somalia.