Wapatanishi wawili wa mzozo wa uchaguzi Kenya, Koffi Annan na Graca Machel washauriana na Rais Kibaki kuhusu mabadiliko muhimu ya kisheria, kikatiba na kisiasa kabla ya uchaguzi mkuu ujao.
Wapatanishi wawili wa mzozo wa uchaguzi Kenya, Koffi Annan na Graca Machel washauriana na Rais Kibaki kuhusu mabadiliko muhimu ya kisheria, kikatiba na kisiasa kabla ya uchaguzi mkuu ujao.