Ndege ndogo ya kibiashara yaanguka uwanja wa Wilson mjini Nairobi na kuuwa rubani na abiria wawili. Rais Abdoulaye Wade wa Senegal ashinikizwa kujiuzulu kufuatia madai ya ufisadi.
Ndege ndogo ya kibiashara yaanguka uwanja wa Wilson mjini Nairobi na kuuwa rubani na abiria wawili. Rais Abdoulaye Wade wa Senegal ashinikizwa kujiuzulu kufuatia madai ya ufisadi.