Waathiriwa wa ghasia za uchaguzi mkuu uliopita Kenya wapanga kuandamana nje ya jumba la mkutano baina ya Ocampo,Kibaki na Raila. Sudan Kusini yatafakari juu ya kutangaza uhuru wake kamili
Waathiriwa wa ghasia za uchaguzi mkuu uliopita Kenya wapanga kuandamana nje ya jumba la mkutano baina ya Ocampo,Kibaki na Raila. Sudan Kusini yatafakari juu ya kutangaza uhuru wake kamili