Viongozi wa AU wakutana mjini Abuja Nigeria kujadili namna ya kutanzua mzozo wa Darfur. Mwendesha mashtaka wa ICC Ocampo atawasili Kenya tarehe 5 november. Maharamia Somalia watekanyara meli ya sita mwezi huu.
Viongozi wa AU wakutana mjini Abuja Nigeria kujadili namna ya kutanzua mzozo wa Darfur. Mwendesha mashtaka wa ICC Ocampo atawasili Kenya tarehe 5 november. Maharamia Somalia watekanyara meli ya sita mwezi huu.