Waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga atakutana na rais Barack Obama na rais wa zamani Bill Clinton New York. Watu 17 wauwa katika mapigano Somalia baina ya wanamgambo na majeshi ya serikali.
Waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga atakutana na rais Barack Obama na rais wa zamani Bill Clinton New York. Watu 17 wauwa katika mapigano Somalia baina ya wanamgambo na majeshi ya serikali.