Polisi wa Kenya wanaizuilia ndege ya maharamia wa kisomali katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta mjini Nairobi. Ndege hiyo ilikuwa ikisafiri kutoka Ushelisheli kuelekea Mogadishu.
Polisi wa Kenya wanaizuilia ndege ya maharamia wa kisomali katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta mjini Nairobi. Ndege hiyo ilikuwa ikisafiri kutoka Ushelisheli kuelekea Mogadishu.